Featured Video

Jumatatu, 17 Agosti 2015

MABASI YA ENDAYO KASI YAMEANZA KAZI JIJINI DAR ES SALAM

Magari hayo yameanza kazi hii leo majira ya asubuhi swali ni je? yanaweza kumaliza matatizo ya foleni jijini humo 
wakazi wa dar es salam wameyapo kea vizuri kabisa na kuonekana inaweza kupuguza msonga mano hata kupuguza magomvi nyumbani baina ya mke na mume 

Pia imewaongezea wananchi kuwa na imani ya chama cha mapinduzi kwa kutimiza ilani yake pia kuondoa kero ya usafiri jijini hapo

                                                   

Unknown

About Unknown

Author Description here.. Nulla sagittis convallis. Curabitur consequat. Quisque metus enim, venenatis fermentum, mollis in, porta et, nibh. Duis vulputate elit in elit. Mauris dictum libero id justo.

Subscribe to this Blog via Email :